Tuesday, September 27, 2011

Bandana Za Joett Zatapakaa TIKISA

Juma lililo pita mashabiki wangu waliniomba awali niwapatia mabandana ya Joett... nikaona basi vizuri, wacha niwapatia vijana nawao wajimwage katika shoot ya TIKISA na brand yangu. Hii picha tulipigwa mara baaba ya shoot ya show ya wiki ilio pita. Washikaji wametoka poa sana, ama mnasemaje?

Kila niendako mitaani, mashabiki wananiomba t-shirt na bandana nao wavae. Kwahivyo basi, nimeamua nitaanza kutengeneza t-shirt na bandana ambazo zitapatikana madukani kwa bei poa tu. Zoezi hilo litakapo kamilika, nitawataarifu nyote mashabik wangu. Ahsanteni kwa kunifagilia kwa kasi sana. Tuko pamoja!

Joett
Vocal Coach | Singer | Dancer Choreographer
Listen to Joett's New Single on Jango Internet Radio
Follow Joett On Twitter
Joett on Facebook
Email: info[at]joettmusic[dot]com

Friday, September 16, 2011

Chungu Kimechemka TIKISA: Madansa Wapandisha Gemu

Vijana wa TIKISA wanatisha.Wiki iliopita nilikua najiuliza, "hawa watu mbona wananichanganya?" Manake gemu limepanda hadi sisi majaji (Joett, QSK, Sauda Simba na Witness The Fitness) tuko confused. Hatujui pakugeukia. Madansa wamepamba moto kinoma. Lakini hatimae ilibidi kapo moja waage shindano la TIKISA. Michael  Kayebo, japo ni mkali, gemu na patna wake Joyce Beatus halikua juu yakutosha kubaki katika shindano hili. Lakini mimi ninaamini hawa wawili watafika mbali kati fani ya dansi. Huu ni mwanzo tu. Niliwahamasisha wasikate tamaa.

TIKISA WIKI HII
Ogopa! Manake wiki iliyopita haioni ndani hata kwa dawa. Kuna watemi na wababe humu ndani sasa hivi, chungu kimechamka. Wamenichanganya. Pakugeukia sioni. Hali imekua ya joto kali. Jasho lanitoka. Pressure imepanda. Ilibidi niwaambie crew wapandishe viyoyozi manake kupumua ilikua taabu tupu. BIG UP kwa hawa wana TIKISA kwa kuleta burudani safi ITV. Kipindi tume shoot jana. Kesho, Jumamosi saa nne usiku, kitarushwa ITV. Mambo yameiva. Msikose!

Joett
Vocal Coach | Singer | Dancer Choreographer
Listen to Joett's New Single on Jango Internet Radio
Follow Joett On Twitter
Joett on Facebook
Email: info[at]joettmusic[dot]com 
 

What Went On Inside TIKISA Shoot in Pictures

TIKISA is going well, I'm glad to say. I think its popularity is growing steadily week on week, and the dancers are getting better and better with every show. I am truly amazed and proud of these kids. Considering none of them had previous experience in salsa, rhumba and merenge ... this is impressive! I just want to share with you SOME images from last week's episode. There's one of me posing for the camera with fellow judges QSK (far left) and Sauda Simba. In another blog post today (the Swahili version), there's a group shot of ALL the contestants who participated in the competition last week... by which time three couples had already been eliminated from the competition. Sad to see them go, but this is, after all, a competition. Winner takes it all!


TIKISA THIS WEEK

We shot the next episode YESTERDAY. Loads of great fun. INCREDIBLE show. Our competitors have moved up yet another gear. You will be AMAZED. I know I was. The heat is on. "Chungu kimechemka!" Watch your TV screens this weekend, Saturday 10pm on ITV.

So until next time, please stay tuned to what's happening on TIKISA right here on Joett Music blog! I promise I will do my best to keep you updated.

Joett
Mob: 0715 364 045/0787 364 045
Vocal Coach | Singer | Dancer Choreographer
Listen to Joett's New Single on Jango Internet Radio
Follow Joett On Twitter
Joett on Facebook
Email: info[at]joettmusic[dot]com